Kuna muonekano mpya wa darasa langu! KUWA WA KWANZA KUINGIA
  • Kiswahili Discussions

    Start your own discussion and win points

    Join, Discuss, Learn, Share idea with others

    Create Discussion

    Pick a Class
    Posted 3 years ago in Form 2

    Matumizi Ya Lugha Katika Miktadha Mbalimbali

    1. bainisha mofimu katika maneno yafuatayo 1:tumbiri 2:msomaji

      3       1

    Comments  

    Petro Joseph   Posted on 1 year ago

    M so ma ji

    Posted 3 years ago in Form 1

    Aina Za Maneno

    nini maana ya sheria mama

      3       2

    Comments  

    Mary Onyali   Posted on 4 months ago

    nice

    Rasuli Njoka   Posted on 5 months ago

    No sheria zilizo wekwa kwa nia ya kuleta tetezi kwa watu husika , ila sina uhakika san......

    Posted 3 years ago in Form 2

    Uundaji Wa Maneno

    Kazi tatu za mnyambuliko 

      2       5

    Comments  

    TUMAINI KAWICHE   Posted on 1 year ago

    ok unaweza kuonesha upachikaji wa wa maneno unavoweza kufanyika

    Brown Brown   Posted on 2 years ago

    Lakini umewahi kusoma Atlas?

    Brown Brown   Posted on 2 years ago

    Kuongeza misamiati ya maneno

    Coaster Melkior   Posted on 2 years ago

    Kuongeza maneno katka mzizi wa neno ili kupata neno sahii

    Posted 3 years ago in Form 3

    Mjengo Wa Tungo

    taja vipashio vya kiarifu

      2       2

    Comments  

    Sharifu Marussu   Posted on 2 years ago

    Chagizo

    Beatrice Laizer   Posted on 3 years ago

    Vitenzi(prediketa)
    Shamirisho(nomino na viwakilishi)

    Vielezi

    Posted 3 years ago in Form 1

    Aina Za Maneno

    hi! guys naomba mnisaidie kutunga sentensi zenye muundo wa:H+Ts+Ts+Ts+T

      1       4

    Comments  

    Inna Ally   Posted on 1 year ago

    Loh! Alikufa akiwa anaumwa

    Fahad Kassanga   Posted on 2 years ago

    Loh!alipendwa alikua

    Brinley Pally   Posted on 3 years ago

    ebo!alikuwa anataka kunisaidia kupika

    Beatrice Laizer   Posted on 3 years ago

    Ala!alikuwa akiwa anasoma?

    Posted 3 years ago in Form 4

    Ukuaji Na Ueneaji Wa Kiswahili Enzi Ya Waingereza Na Baada Ya Uhuru

    Taja na fafanua kazi za TAKILUKI

      1       0

    Comments  

    Posted 3 years ago in Form 1

    Aina Za Maneno

    nini maana ya tahajia  na   msamiati

      0       1

    Comments  

    Zainab Ghasia   Posted on 3 years ago

    msamiati nilile neno lenye kubeba maana katika lugha .

    Posted 3 years ago in Form 4

    Uhakiki Wa Kazi Za Fasihi Andishi

    taja sifa za fasihi andishi

      1       4

    Comments  

    Coaster Melkior   Posted on 2 years ago

    Fasii andishi ni Mali ya wachache yani wanao jua kusoma Na kuandika 2,ukaa mda mrefu bila kupotea

    Anicetha George   Posted on 3 years ago

    ni mali ya mwandishi,si ya jamii nzima

     

    huhifadhiwa kwa njia ya maandishi

    Beatrice Laizer   Posted on 3 years ago

    Fasihi andishi huwa
    Mali ya mwandishi
    Haiwezi kupokea marekebisho ya papo kwa hapo
    Ina tanzu tatu tu
    Haina mawasiliano Kati ya fanani na hadhira
    Haina Hali ya utendaji

    Beatrice Laizer   Posted on 3 years ago

    Ni aina ya fasihi inayo wasilishwa kwa njia ya maandishi

    Posted 3 years ago in Form 1

    Mawasiliano

    Eti wadau wanyama wanalugha

      2       13

    Comments  

    Mustafa Kamna   Posted on 2 months ago

    Ndio

    MAMBA SECONDARY   Posted on 7 months ago

    stephano filibert lyankuba
    ndio. kwakuwa hata wao pia wanaelewana. kwakuwa moja ya kazi za lugha nikurahisisha mawasiliano.

    Rynne 04   Posted on 2 years ago

    milio

    Ibra_juz7   Posted on 2 years ago

    ndio kwasababu huelewana wenyewe kwa wenyewe

    Posted 3 years ago in Form 57122

    Kusikiliza na Kuzungumza

    T

      0       0

    Comments  

    Posted 3 years ago in Form 57122

    Kusikiliza na Kuzungumza

    T

      0       0

    Comments  

    Posted 3 years ago in Form 1

    Mawasiliano

    Nini maana  ya  maneno  Kujikomba,Kupiga makelele na  kumtunza.

      2       3

    Comments  

    Coaster Melkior   Posted on 2 years ago

    Sijaelewa swali lako uliza vzur

    Coleen Soor   Posted on 3 years ago

    sijaelewa swali lako

    Cindy Modimo   Posted on 3 years ago

    naomba ueleze vizuri

    Posted 3 years ago in Form 2

    Uundaji Wa Maneno

    Nini maana ya vipashio vidogo?

      1       0

    Comments  

    Posted 3 years ago in Form 3

    Ngeli Za Nomino

    umuhimu wa kuainisha ngeli za nomino

      1       1

    Comments  

    Beatrice Laizer   Posted on 3 years ago

    Kudumisha upatanisho wa kisarufi

    Posted 3 years ago in Form 3

    Mjengo Wa Tungo

    jaman nini dhima za tungo

      1       1

    Comments  

    Faith Wanjama   Posted on 3 years ago

    Dhima pia n umuhimu

    Posted 3 years ago in Form 1

    Mawasiliano

    Sarufi  ina  umuhimu  gani  katika lugha?

      1       2

    Comments  

    Renatus Philimon   Posted on 3 years ago

    sawa sawa beat-rice

    Beatrice Laizer   Posted on 3 years ago

    Huwezesha kutunga tungo jingi sahihi

    Posted 3 years ago in Form 2

    Uundaji Wa Maneno

    Naomba kusaidiwa maana ya nahau hizi:Funguka choo,

     

    Ambua nyayo,

     

    Piga salamu

     

    Alika vita

     

      2       2

    Comments  

    Alvin Shirima Alvin Shirima   Posted on 3 years ago

    Aya

    Fankie Peace   Posted on 3 years ago

    ok

    Posted 3 years ago in Form 1

    Mawasiliano

    Taja na elezea kwa mifano aina nne za sarufi

      1       2

    Comments  

    Beatrice Laizer   Posted on 3 years ago

    Sarufi matamshi
    Sarufi maana
    Sarufi maumbo
    Sarufi muundo

    Fankie Peace   Posted on 3 years ago

    ok

    Posted 3 years ago in Form 2

    Matumizi Ya Lugha Katika Miktadha Mbalimbali

    Taja na uelezee athari 5 katika lafudhi na matamshi

      4       1

    Comments  

    Husna Hassan   Posted on 3 years ago

    Athari ya lugha mama

    Posted 3 years ago in Form 2

    Uundaji Wa Maneno

    sifa 5 za myumbuliko wa maneno

      6       1

    Comments  

    Ibra_juz7   Posted on 2 years ago

    hutanua maana ya neno
    hujenga mzizi wa shina
    hugeuza aina ya neno na kuwa aina nyingine
    huongeza viambishi baada ya mzizi
    huzalisha maneno mapya

    Ask
    Ticha
    Kidevu

    Pick a Subject and Get Discussing

    Cancel

    Pick a Class and Continue

    Cancel

    X
    Feedback

    We Love to Hear from You

     

     

     


    X

    Connect to your school online

    X

    Find your registered child

    Or Register a New Child Here