- bainisha mofimu katika maneno yafuatayo 1:tumbiri 2:msomaji
Comments
No sheria zilizo wekwa kwa nia ya kuleta tetezi kwa watu husika , ila sina uhakika san......
Comments
ok unaweza kuonesha upachikaji wa wa maneno unavoweza kufanyika
Comments
hi! guys naomba mnisaidie kutunga sentensi zenye muundo wa:H+Ts+Ts+Ts+T
Comments
Comments
Fasii andishi ni Mali ya wachache yani wanao jua kusoma Na kuandika 2,ukaa mda mrefu bila kupotea
ni mali ya mwandishi,si ya jamii nzima
huhifadhiwa kwa njia ya maandishi
Fasihi andishi huwa
Mali ya mwandishi
Haiwezi kupokea marekebisho ya papo kwa hapo
Ina tanzu tatu tu
Haina mawasiliano Kati ya fanani na hadhira
Haina Hali ya utendaji
Comments
stephano filibert lyankuba
ndio. kwakuwa hata wao pia wanaelewana. kwakuwa moja ya kazi za lugha nikurahisisha mawasiliano.
Nini maana ya maneno Kujikomba,Kupiga makelele na kumtunza.
Comments
Comments
Naomba kusaidiwa maana ya nahau hizi:Funguka choo,
Ambua nyayo,
Piga salamu
Alika vita
Comments
Comments
Taja na uelezee athari 5 katika lafudhi na matamshi
M so ma ji